Back to home

Viongozi wa jamii ya Endorois Baringo wanadai warejeshewe ardhi yao

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 9, 2026
1h ago
Viongozi wa jamii ya Endorois kaunti ya Baringo wametoa wito kwa Serikali ya Kenya kutekeleza uamuzi wa kihistoria wa mahakama ya Afrika uliotolewa mwaka wa 2010 na ambao uliamrisha kuwa jamii hiyo ifidiwe na kurejeshewa haki zake za ardhi baada ya kufurushwa kutoka maeneo yanayo
Advertisement