Back to home
Washindi wanne wajinyakulia Sh1.2 milioni Shabikia World Cup
video
C
Citizen TV (Youtube)July 9, 2026
1h ago
Washindi wengine wanne wa shindano la Shabikia World Cup Kishabiki kwenye jukwaa la Shabiki.com wamejinyakulia jumla ya shilingi milioni 1.2.
Boniface Kirema kutoka Meru ameshinda shilingi laki tano, huku Collins Odhiambo wa Siaya, Kenneth Luka wa Kakamega na Mark Kamau wa Thogo
Advertisement
Advertisement





