Back to home

Wanahabari wakongwe kutambuliwa Septemba

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 9, 2026
1h ago
Hafla maalum ya kuwaenzi na kuwatambua wanahabari na watangazaji wakongwe inatarajiwa kuandaliwa nchini mwezi Septemba mwaka huu. Katika uzinduzi wa hafla hiyo, mtangazaji Fred Obachi Machoka, anayeadhimisha miaka 50 katika tasnia ya utangazaji, amesema ni muhimu kuwakumbuka na
Advertisement