Back to home
Wanahabari wakongwe kutambuliwa Septemba
video
C
Citizen TV (Youtube)July 9, 2026
1h ago
Hafla maalum ya kuwaenzi na kuwatambua wanahabari na watangazaji wakongwe inatarajiwa kuandaliwa nchini mwezi Septemba mwaka huu.
Katika uzinduzi wa hafla hiyo, mtangazaji Fred Obachi Machoka, anayeadhimisha miaka 50 katika tasnia ya utangazaji, amesema ni muhimu kuwakumbuka na
Advertisement
Advertisement





