Back to home

Mashabiki wa Ufaransa washerehekea ushindi wao wa mabao 2 kwa 0 dhidi ya Morocco

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 10, 2026
1h ago
Mashabiki wa Ufaransa walisherehekea ushindi wao wa mabao 2 kwa 0 dhidi ya Morocco nje ya uwanja wa Boston. Nao mashabiki wa Morocco wamesononeka na kutamaushwa baada ya timu yao kukiaga kipute cha dunia makala ya mwaka huu yanayofanyika amerika, Mexico na Canada. Subscribe a
Advertisement