Back to home

Asava Kadima awahamasisha wahitimu kusaidia nchi kukidhi ongezeko la mahitaji ya mafundi stadi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 10, 2026
1h ago
Mkurugenzi wa taasisi ya Railway Training Institute Asava Kadima, amewahamasisha wahitimu kusaidia nchi kukidhi ongezeko la mahitaji ya mafundi stadi, mafundi wa teknolojia, wataalamu wa usafirishaji na wahandisi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement