Back to home

IEBC yamtoza mbunge wa Kipiri Wanjiku Muhia faini ya Sh1.5 milioni kwa kutoa matamshi ya uchochezi

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 10, 2026
3h ago
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, Independent Electoral and Boundaries Commission, imemtoza faini ya shilingi milioni moja na nusu Mbunge wa Kipipiri, Wanjiku Muhia, kwa kile inachosema ni kutoa matamshi ya chuki na uchochezi wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Ol
Advertisement