Back to home
Mwanafunzi afariki baada ya mzozo shuleni Thika
video
C
Citizen TV (Youtube)July 11, 2026
2h ago
Mwanafunzi wa gredi ya 10 amefariki kufuatia kile kimeripotiwa kuwa mzozo kati yake na mwanafunzi mwenzake katika shule ya upili ya Thika. Inaripotiwa kuwa, wawili hao walikuwa wakizozana kuhusu ni nani angeongoza maombi ya usiku. Familia ya mwanafunzi aliyefariki sasa ikitaka ha
Advertisement
Advertisement


