Back to home

Visa vya ujambazi wa kutumia bunduki vyatia hofu Nairobi na Kiambu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 12, 2026
5h ago
Visa vya majambazi waliojihami kwa bastola kuhangaisha wakazi katika kaunti za Nairobi na Kiambu vimeendelea kuzua wasiwasi mkubwa licha ya ahadi za serikali kuwa itadhibiti hali. Katika kisa cha hivi punde, jambazi aliyejihami kwa bastola alinaswa kwenye kamera za CCTV akivamia
Advertisement