Back to home
Zaidi ya wakazi 3,000 wanufaika na kambi ya matibabu ya bure Bomet
video
C
Citizen TV (Youtube)July 13, 2026
4h ago
Na katika kaunti ya Bomet, wakazi zaidi ya 3,000 wa Kapkesosio eneobunge la Chepalungu nao pia walinufaika kwa matibabu ya bure kwenye kambi iliyoandaliwa na serikali ya kaunti hiyo ikishirikiana na wakfu wa Mpesa .
Advertisement
Advertisement





