Back to home
Wabunge wa magharibi wampigia debe Oparanya kuwa naibu rais 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)July 13, 2026
4h ago
Baadhi ya wabunge wa eneo la Magharibi sasa wanampigia debe waziri wa vyama vya ushirika Wycliffe Oparanya kuwa naibu rais wa William Ruto katika uchaguzi wa mwaka 2027.
Advertisement
Advertisement





