Back to home
Aliyekuwa meja wa jeshi afungwa maisha kwa mauaji ya familia yake
video
C
Citizen TV (Youtube)July 14, 2026
1h ago
Mahakama Kuu imemhukumu Peter Mugure kifungo cha maisha gerezani baada ya kumpata na hatia ya kuwaua mkewe na watoto wake wawili mwaka 2019.
Advertisement
Advertisement



