Back to home
Shule ya Ilbisil yaadhimisha Siku ya kiswahili huku walimu wakionya kuhusu sheng
video
C
Citizen TV (Youtube)July 14, 2026
2h ago
Katika juhudi za kuimarisha matumizi ya lugha ya Kiswahili miongoni mwa wanafunzi, Shule ya Wasichana ya Ilbisil imeadhimisha Siku ya Kuenzi Kiswahili kupitia shughuli mbalimbali za kitamaduni.
Advertisement
Advertisement





