Back to home

Uchunguzi wa mauaji ya mfanyabiashara wa Nyeri Joy Kanini

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 15, 2026
2h ago
Familia ya mfanyabiashara wa Nyeri aliyeuawa kikatili, Joy Kanini, yaweza kuanza maandalizi ya mazishi yake baada ya maafisa wa DCI kupata sehemu ya mwisho ya mwili wake iliyokuwa imepotea. Wapelelezi wasema mshukiwa mkuu wa mauaji hayo, John Ndiritu Muriithi maarufu Tizo, awaong
Advertisement