Back to home
Waziri Ogamba apinga madai ya kupunguzwa mgao wa fedha za masomo katika shule za sekondari ya juu
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 15, 2026
4h ago
Waziri wa Elimu Julius Migos Ogamba amepinga madai kuwa serikali imepunguza kisirisiri mgao wa fedha za masomo katika shule za sekondari ya juu kutoka shilingi elfu 22 hadi shilingi elfu 14 kwa kila mwanafunzi.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and
Advertisement
Advertisement





