Back to home
Navakholo: Familia yasitisha maandalizi ya mazishi baada ya mwanao kurejea nyumbani akiwa hai
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 16, 2026
1h ago
Familia ya Navakholo, Kakamega, yalazimika kuondoa taarifa ya kutambua mwili na kusitisha maandalizi ya mazishi baada ya mwalimu Dickson Muganda, aliyekuwa ametafutwa kwa siku kadhaa na kudhaniwa kufariki, kurejea nyumbani akiwa hai.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest
Advertisement
Advertisement




