Back to home
Makueni: wakulima, wafugaji na wataalamu wa kilimo wakutana kujadili mbinu za kisasa za ukulima
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 16, 2026
2h ago
Maonyesho ya kilimo Makueni yatoa mwelekeo mpya, wakulima, wafugaji na wataalamu wa kilimo wamekutana Makindu kujadili mbinu za kisasa zinazokabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuimarisha biashara ya mazao kwa ukuaji endelevu wa uchumi.
Subscribe and watch NTV Kenya live for
Advertisement
Advertisement




