Back to home

Maonyesho ya kilimo yafanyika Makueni

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 17, 2026
1h ago
Maonyesho ya kilimo ya mwaka huu ya kaunti ya Makueni yaingia siku yake ya pili hii leo katika uwanja wa maonyesho mjini Makindu. ukulima unaozingatia mbinu za kisasa hasa za kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi wapewa kipaumbele kwenye maonyesho hayo.
Advertisement