Back to home
Viongozi wa Wajir kaskazini wafurahia miradi ya maendeleo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 17, 2026
1h ago
Serikali yapongezwa kwa juhudi zake za kuimarisha miundombinu katika eneo la Kaskazini Mashariki, hasa kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya barabara ilengayo kufungua fursa za maendeleo na kukuza uchumi wa eneo hilo.
Advertisement
Advertisement




