Back to home
Wamarekani saba wawekwa karantini Laikipia
video
C
Citizen TV (Youtube)July 17, 2026
1h ago
Wafanyakazi saba wa shirika la misaada la Marekani Samaritan's Purse waliokuwa wakihudumu katika juhudi za kudhibiti Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameripotiwa kuhamishiwa katika kituo cha karantini kilichoko katika kambi ya kijeshi eneo la Laikipia.
Wafanyakazi
Advertisement
Advertisement


