Back to home

Polisi wachunguza kifo cha Margaret Wambui

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 19, 2026
19h ago
Polisi wa eneo la Kilimani jijini Nairobi wanachunguza kisa ambacho msichana mwenye umri wa miaka 21 amefariki baada ya kuanguka kutoka kwenye jengo moja jijini Nairobi. Margaret Wambui alianguka kwa njia tata kutoka kwenye jumba hilo la ghorofa 22. Familia yake sasa inadai hak
Advertisement