Back to home
Wanasiasa wa Kakamega waendeleza wito wa Oparanya kuwa mgombea mwenza wa rais Ruto William
video
C
Citizen TV (Youtube)July 20, 2026
18h ago
Baadhi ya wanasiasa wa kaunti ya Kakamega wameendeleza shinikizo la kutaka raisWilliam Ruto kumchagua waziri wa mashirika wycliffe oparanya kuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao
Advertisement
Advertisement


