Back to home
Kongamano la maaskofu wa Kanisa Katoliki laendelea Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 20, 2026
16h ago
kongamano la maaskofu wa kanisa katoliki la siku nane linanedelea katika chuo kikuu cha katoliki bewa la nairobi. ajenda kuu ni kuhimiza umoja, matumaini, haki na utawala bora.
vijana zaidi ya elfu kumi kutoka mataifa ya afrika mashariki wanashiriki kongamano hilo.
Advertisement
Advertisement





