Back to home

Wahudumu wa bodabodakatika eneo la Kanduyi katika kaunti ya Bungoma wapinga uvumi wa pesa kufujwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 21, 2026
6h ago
cWahudumu wa bodaboda wa eneo bunge la Kanduyi katika kaunti ya Bungoma wajitokeza na kupuuzilia mbali uvumi uneneao mitandaoni kuwa shilingi milioni 3.6 zilizochangwa wakati wa hafla ya mchango wa wanabodaboda siku ya ijumaa zafujwa.
Advertisement