Back to home

Viongozi wa Kanisa Katoliki wataka maadili ya kidini yaimarishwe shuleni

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 21, 2026
5h ago
Viongozi wa Kanisa Katoliki kaunti ya Kajiado pamoja na wadau wa elimu nchini sasa wamezitaka taasisi za elimu kuwalea wanafunzi kwa misingi ya kidini. Wakisema msingi huo utasaidia kurejesha nidhamu na maadili ambayo yamekuwa yakiporomoka shuleni.
Advertisement