Back to home

Wadau wa elimu Nandi wataka hatua dhidi ya ongezeko la visa vya ulawiti

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 21, 2026
5h ago
Wadau wa elimu katika Kaunti ya Nandi wametoa wito kwa serikali na wadau husika kuchukua hatua kali kukabiliana na ongezeko la visa vya ulawiti vinavyowalenga wavulana wadogo shuleni.
Advertisement