Back to home
Ruto aagiza hatua kali dhidi ya magenge ya kihuni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 21, 2026
3h ago
Rais William Ruto ameamuru vitengo vya usalama kuyachukulia hatua magenge yanayosababisha ghasia kwenye mikutano na shughuli nyingine za kisiasa. Rais Ruto akionya kuwa huenda taifa likasambaratika endapo hatua za dharura hazitachukuliwa. Amezungumza Ikulu ya Nairobi wakati wa ha
Advertisement
Advertisement

