Back to home
NSDCC yatoa msaada wa sodo kwa timu ya wanariadha
video
C
Citizen TV (Youtube)July 22, 2026
1h ago
Wanariadha wanawake wa timu ya Kenya wajiandaao kushiriki kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola mwaka huu,waongezewa ari baada ya kupokea msaada wa sodo kutoka baraza la kitaifa la kudhibiti Magonjwa Mseto, NSDCC.
Advertisement
Advertisement





