Back to home
Mamlaka ya udhibiti wa bima yatoa mafunzo ya bima kwa wakazi wa Narok
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
2h ago
Mamlaka ya udhibiti wa bima imetoa mafunzo kwa zaidi ya watu elfu moja katika kaunti ya Narok ili kuimarisha uelewa wa wananchi kuhusu huduma za bima. Mafunzo hayo yanalenga kuongeza uhamasishaji kuhusu umuhimu wa bima, haki za watumiaji na namna ya kupata huduma mbalimbali za bi
Advertisement
Advertisement





