Back to home
Wazazi Kwale waonywa dhidi ya ukataji wa kilimi kwa watoto
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
2h ago
Wazazi katika kaunti ya Kwale wamehimizwa kuwapeleka watoto hospitalini wanapopata matatizo ya koo au kikohozi badala ya kuwapeleka kwa matabibu wa jadi kwa ajili ya kukatwa kilimi. Madaktari katika kaunti ya Msambweni Referral Hospital wamesema hospitali hiyo imepokea visa vitan
Advertisement
Advertisement





