Back to home

Wanafunzi wa Utumishi Gilgil warejea shuleni baada ya mkasa wa moto

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 2, 2026
2h ago
Wanafunzi wa kidato cha nne wa Utumishi Girls Academy Gilgil wamerejea shuleni baada ya taasisi hiyo kufungwa kwa zaidi ya mwezi mmoja kufuatia mkasa wa moto uliosababisha vifo vya wanafunzi 16. Wanafunzi hao wamerejea siku moja baada ya wenzao wanane kushtakiwa kwa makosa 16 ya
Advertisement