Back to home
Wafanyakazi wa hoteli Bungoma wapewa mafunzo ya kupata vyeti vya taaluma zao
video
C
Citizen TV (Youtube)July 22, 2026
1h ago
Wafanyakazi wa hoteli kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya ambao hawajapata vibali rasmi vya taaluma zao waanza mafunzo ya kutambuliwa katika chuo cha mafunzo anuai cha Kitaif cha Bungoma.
Advertisement
Advertisement





