Back to home

Mgomo wa mawakili waendelea katika Kaunti ya Bungoma

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 23, 2026
1h ago
Huku mgomo wa Chama cha Mawakili nchini ukiendelea, mawakili wa Kaunti ya Bungoma wamtaka jaji mkuu Martha Koome kuongoza mageuzi ya haraka katika idara ya mahakama ili kurejesha imani ya wananchi katika mfumo wa utoaji haki.
Advertisement