Back to home

Gachagua aahidi kusafisha idara ya polisi akichaguliwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 23, 2026
59m ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua, sasa anasema shughuli ya kwanza afisini ikiwa atafaulu Kuwa Rais mwaka ujao, itakuwa ni kusafisha Idara ya polisi na Kuwaondoa wale anaowataja kuwa maafisa wahuni. Akizungumza huko Nyandarua alipohudhuria hafla ya mazishi ya watu wawili waliofariki
Advertisement