Back to home
Afisa wa ANU azuiliwa kwa tuhuma za wizi wa Sh60 milion
video
C
Citizen TV (Youtube)July 23, 2026
1h ago
Afisa mmoja wa upelelezi kutoka Kitengo cha Kupambana na Ulanguzi wa Dawa za Kulevya (ANU) atazuiliwa kwa siku nne kabla ya kujua hatma yake baada ya kukamatwa kwa madai ya kuhusika na wizi wa shilingi milioni 60.
Raphael Wafula anadaiwa kushirikiana na maafisa wengine wa polisi
Advertisement
Advertisement

