Back to home
Polisi wamsaka afisa wa polisi kwa tuhuma za kumdhalilisha mwanafunzi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
2h ago
Polisi mjini Nyeri, wamethitisha kuwa wanamsaka afisa mwenzao aliyekuwa akihudumu kituo cha Mweiga, kwa tuhuma za kumnajisi na kumpachika mimba mwanafunzi wa gredi ya nane
Advertisement
Advertisement





