Back to home

Murkomen apuzilia mbali ripoti za kukithiri kwa mashambulizi ya wahuni

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 23, 2026
1h ago
Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen, amepuzilia mbali ripoti za kukithiri kwa mashambulizi ya wahuni, akisisitiza kuwa nchi ni salama zaidi kuliko nyakati za nyuma. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get t
Advertisement