Back to home

Serikali yatakiwa kutumia takwimu halisi za ugavi wa rasilmali

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 24, 2026
1h ago
Wadau kutoka sekta za maji, afya na elimu ya awali (ECDE) waitaka serikali ya kaunti kutumia takwimu halisi katika ugawaji wa rasilimali ili kuhakikisha kila eneo lapata mgao unaolingana na mahitaji yake badala ya kutegemea idadi ya wadi pekee.
Advertisement