Back to home
Kilimo biashara | Wakulima Kiambu wanufaika na mpango wa kuinua kilimo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 25, 2026
1h ago
Wakulima katika Kaunti ya Kiambu wameanza kuvuna matunda ya mpango wa kuwawezesha na kuwainua baada ya kupokea vifaranga wa kienyeji walioboreshwa, nguruwe wachanga na mbegu bora Kutoka kwa serikali ya kaunti hiyo. Mpango huo umechangia kuongezeka kwa uzalishaji na kuwepo kwa cha
Advertisement
Advertisement




