Back to home
Familia ya Sharon Otieno yavunja ukimya baada ya hukumu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 25, 2026
1h ago
Kwa mara ya kwanza tangu uamuzi wa mahakama kuhusu mauaji ya Sharon Otieno, familia yake imezungumza. Wazazi wa Sharon, Melida Auma na Daglous Otieno, walihudhuria ibada maalum ya kutoa shukrani Jumamosi katika kanisa la SDA la Magare Got, kaunti ya Homa Bay, ambapo walielezea
Advertisement
Advertisement





