Back to home
Timu ya Kenya yawasili Tunisia kuwania tiketi ya Kombe la Dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)July 25, 2026
2h ago
Timu ya Kenya ya mchezo wa Tchoukball imewasili nchini Tunisia tayari kwa Mashindano ya Afrika, ambayo pia yatatumika kuwania nafasi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia.
Timu hiyo inalenga kufanya vyema katika mashindano hayo ili kujihakikishia tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la
Advertisement
Advertisement





