Back to home

Timu ya Kenya yawasili Tunisia kuwania tiketi ya Kombe la Dunia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 25, 2026
2h ago
Timu ya Kenya ya mchezo wa Tchoukball imewasili nchini Tunisia tayari kwa Mashindano ya Afrika, ambayo pia yatatumika kuwania nafasi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia. Timu hiyo inalenga kufanya vyema katika mashindano hayo ili kujihakikishia tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la
Advertisement