Back to home

Kenya Kwanza yapuuza mikutano ya Linda Mwananchi

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 26, 2026
1h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wamepuuza mikutano ya mrengo wa Linda Mwananchi, wakisema haileti tishio lolote kwa muungano huo licha ya kuhudhuriwa na umati mkubwa wa wafuasi. Wakizungumza katika eneo la Kitutu Chache Kaskazini, Kaunti ya Kisii, viongozi hao walidai kuwa Rais Mstaafu
Advertisement