Back to home
Kongamano la 38 la kitaifa kuhusu utekelezaji haki laingia siku ya pili jijini Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 28, 2026
1h ago
Kongamano la 38 la kitaifa kuhusu utekelezaji wa haki laingia siku ya pili jijini Mombasa. Jaji mkuu Martha Koome, makatibu na wakuu wa asasi za usalama waendelea kujadili mbinu na mikakati ya kukabiliana na ongezeko la visa vya dhulma za kijinsia kwa watoto nchini.
Advertisement
Advertisement



