Back to home

Kinara wa chama cha UGM David Maraga ataka fedha za majanga zipelekwe kaunti mapema

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 28, 2026
2h ago
kinara wa chama cha UGM david maraga ameitaka serikali kutuma pesa za kukabiliana na majanga mapema katika kaunti ili kaunti zijiandae vyema kudhibiti athari za mvua ya el nino inayotarajiwa msimu ujao. Akizungumza katika makao makuu ya chama hicho mtaani westlandas hapa jijini n
Advertisement