Back to home

Glasgow: Omanyala aanza safari ya kutetea taji lake katika nusu fainali, akilenga kufuzu kwa fainali

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 28, 2026
1h ago
Bingwa mtetezi wa mita 100 katika Michezo ya Jumuiya ya Madola 2026, Ferdinand Omanyala, usiku wa leo aanza safari ya kutetea taji lake katika nusu fainali, akilenga kufuzu kwa fainali. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenya
Advertisement