Back to home

Jamaa za waathiriwa wa ukoloni wataka fidia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 29, 2026
2h ago
Jamaa za wapiganiaji uhuru wa Mau Mau watoa wito wa kufidiwa na serikali ya Uingereza, wakisisitiza kuwa bado kuna dhuluma ambazo hazijashughulikiwa kwa familia ambazo jamaa zao walipoteza maisha, kuteswa na kukandamizwa wakati wa enzi ya ukoloni.
Advertisement