Back to home

Kamati ya bunge yahoji wizara ya Kawi kuhusu kurejesha Sh2 bilioni Hazina

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 29, 2026
2h ago
Katibu mkuu katika wizara ya kawi Alex Wachira pamoja na maafisa wa wizara hiyo leo wamefika mbele ya kamati ya bunge ya uhasibu kujibu maswali kuhusu matumizi ya pesa katika mwaka wa kifedha wa 2024. Kamati hiyo ya uhasibu imehoji sababu ya wizara ya kawi kurejesha katika mkoba
Advertisement