Back to home
Viongozi watoa kauli kinzani kuhusu nafasi ya Kithure Kindiki kuelekea 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2026
2h ago
Mbunge wa Matungulu Stephen Mutinda Mule amemtaka Naibu Rais Profesa Kithure Kindiki kujiandaa kuondoka mamlakani mwaka ujao akisema mgombea wa Naibu Rais ajaye atatoka ODM. Mule anasema dalili za kuondolewa kwake kama naibu rais zimeanza kuonekana. Naye Seneta wa Embu Alexander
Advertisement
Advertisement




