Back to home

Baringo: Walimu wawili wapata nafasi mpya maishani baada ya kushinda uraibu wa pombe

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 29, 2026
2h ago
Walimu wawili kutoka shule za msingi za Radad na Chepnyorgin, Kaunti ya Baringo, wamepata nafasi mpya maishani baada ya kushinda uraibu wa pombe kupitia mpango wa TSC wa Teacher Induction, Mentorship and Coaching (TIMEC). Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news
Advertisement