Back to home

Nairobi: Polisi wachunguza mauaji ya mtafiti wa afya ya akili, Dkt. Victoria Mutiso

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 29, 2026
2h ago
Polisi jijini Nairobi wanachunguza mauaji ya mtafiti wa afya ya akili, Dkt. Victoria Mutiso, aliyepigwa risasi mchana wa leo katika kile kinachoshukiwa kuwa shambulizi lililotekelezwa na watu waliokuwa wakimfuatilia. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news toda
Advertisement