Back to home
Harambee Starlets kuikabili Senegal katika mechi muhimu ya WAFCON
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
1h ago
Timu ya taifa ya Soka kwa wanawake Harambee starlets itamenyana na senegal hii leo kuanzia saa mbili kamili usiku kwenye mechi ya pili ya kundi ‘a’ kuwinda kombe la mataifa ya afrika wafcon nchini Morocco.
Advertisement
Advertisement





